FULL LYRICS: Harmonize – Ushamba lyrics

FULL LYRICS: Harmonize – Ushamba lyrics

FULL LYRICS: Harmonize – Ushamba lyrics

FULL LYRICS: Harmonize – Ushamba lyrics now available on Amebo9ja now!

Download Mp3 Audio

Lyrics to Ushamba by Harmonize

Kondeboy
Weeeeeeeee

Chorus
Huo ni ushambaa huo ni wee
Huo ni ushambaa huo ni wee
Huo ni ushambaa huo ni eeeeh
Huo ni ushambaa

Verse 1
Pesa ya kulipa gesti unayo eeeh
Nyumbani familia inapiga miyayo eeeh
mmh yanafurahisha ufanyayo eeeh
Huo ni ushamba

Inaboa kudadadeki, dereva wa Uber hataki kuova teki
Eti kisa pesa haiongezeki
Eeeh huo ni ushamba

Yupo kitandani kajilegeza eeh
Mi nimeshapaka vya kuteleza eeh
Eti bebi leo simba wanacheza
Eeeh huo ni Ushamba

Husband material kutwa, unalike picha za makalio
Vya wenzako usijipe matamanio
Eeh huo ni ushamba

Ashura wa mbagala
Huna Pakula pakulala,
Komenti ndefu picha za kajala
Huo tunaita eeeh
Huo ni ushamba

Chorus
Huo ni ushambaa huo ni wee
Huo ni ushambaa huo ni wee
Huo ni ushambaa huo ni eeeeh
Huo ni ushambaa

Verse 2
Mmmh malejendi si wamerudisha vita
Wanahofia eti jeshi anawapita
Bila sababu wananikunjia ndita
Eeh huo ni ushamba

Limechoka acha nilikalagaze
Halina meno ilo simba zeee
Likila demu lazima litangaze
Huo tunaita
Eeeh huo ni ushamba

Hivi dunia ndo ipo kikomo eeh
Maana hadi waganga  wanapiga promo
Hadi insta eeh wana page za kujipigia domo
Eeeh huo ni ushamba

Amepanga chumba huko vingunguti
Yupo mbezi kwa demu pesa hatafuti
Mmh vipi akikupiga kibuti
Eeeh huo ni ushamba aaah

Konda wa daladala
Umenipitisha bahati mbaya nililala
Unataka nilipe tena ni busara
Eeeh huo ni ushamba

Chorus
Huo ni ushambaa huo ni wee
Huo ni ushambaa huo ni wee
Huo ni ushambaa huo ni eeeeh
Huo ni ushambaa

Verse 3
Kaja na vumbi uso umefubaa
Anadai kapaka poda eeh
Kaniomba nauli ya Uber
Eeeh huo ni ushamba
Yule namuona kapanda boda

Vitu vingine haviji na ubongo eeh
Punguzeni sifa wana sio mchongo eeh
Demu humjui unampakia mkongoo
Eeeh huoni ushambaa

Yeye ndo kalewa kuliko wote
Anaimba nakucheza ngoma zote
Wakati wakulipa bili sina chochote
Eeh huo ni ushambaa

Meno yote nje anachekelea
Ahsante bebi nimepokea
Hasa mbona haujatuma na yakutoleaa
Eeeh huo ni ushambaa

Kumepambazuka alfajiri
Tupo club wana anasema subiri
Yani kisa yeye ndo mwenye usafiri aah
Eeeh huoni ushambaa

Tunaishi kwa nyumba ya kupanga
Mwenzetu unatuletea muganga
Unataka wote tuonekane wangaa
Huo tunaita
Eeeh huo ni ushambaa

Chorus
Huo ni ushambaa huo ni wee
Huo ni ushambaa huo ni wee
Huo ni ushambaa huo ni eeeeh
Huo ni ushambaa.

Hehehehee
Kasa kama kama tumekutana mchana, unasema haujala
Heheheee asubuhi si ungeniomba mswaki wewee hehehe hahaha hahahahah

Huo ni ushambaa huo ni
Huo ni ushambaa huo ni
Huo ni ushambaa huo ni
Huo ni ushambaa

Morento

They call me kondeboy No.1 Jeshiiiiiii

 

About Amebo9ja 27527 Articles
Nigeria’s #1 Music & Entertainment Website

Make Your comment

Leave a Reply

Your email address will not be published.