Music + Lyrics: Mbosso – Tamba

Music + Lyrics: Mbosso – Tamba

Music + Lyrics: Mbosso – Tamba

WCB Wasafi Records recording artist, Mbosso has released a new love song titled “Tamba.”

Mbosso ushers a new record which samples a groovy instrumental with production assistance from Nusdervenom.

Song mixed and mastered by renowned sound engineer, Lizer Classic.

Listen and share your thoughts below. Get it on ITunes here

Download

Lyrics: Mbosso – Tamba

(Nusder)

Pasha maji weka moto
Tandika jamvi naja nyumbani
Nimekuletea zawadi 

Kijora cha mkopo
Futa la nazi ujipare honey
Na vijisabuni vya Magadi

Nguru usimtoe chumvi ndio ladha yake
Muunge tu nipe na chuzi na nyama yake
Eeh kula ya mbuzi ni kamba yake
Ye king’amuzi ni dishi lake

Fungeni maturubai (Mkeshe mkisema)
Wala hamtupi shida (Mkeshe mkisema)
Ndo kwanza tunajidai (Mkeshe mkisema)
Kama afisa wa nida ooh

Tena daktari nimekuja na tiba sindano (Leta nichomeke)
Chunga kibinda mwali napita kwenye mabano (Leta nichomeke)
Nipo ngangari tayari kwa mapambano (Leta nichomeke)
Tayari kagusa Aslay wa mambo msuguano (Leta nichomeke)

Tamba Tamba! Nakupa uwanja tamba
Tamba Tamba! Warushe warushike roho zao
Tamba Tamba! Wasokujua wakujuwe leo
Tamba Tamba! Tamba mama nao

Nitalinda benki kwa rungu niaminie
Nikitaka langu mwana uvungu nainama mie
Wavunje nazi na nyungu wajifushie
Ooh moyo wangu atulinde mungu yasitufikie

Nilishakumbwa na Tsunami
Na mapenzi nikalia nina amani kwako sasa
Penzi si la unyang’anyi pekee yangu najilia
Nashiba na kusaza

Na ka TV kangu kanawaka kuzima (Nikupe)
Na kasimu kangu japo ka Mchina (Nikupe)
Shika na moyo wangu enda nao mazima (Nikupe)
Tuzaliwa Mecca tufie Madina (Nikupe)

Fungeni maturubai (Mkeshe mkisema)
Wala hamtupi shida (Mkeshe mkisema)
Ndo kwanza tunajidai (Mkeshe mkisema)
Kama afisa wa nida ooh

Tena daktari nimekuja na tiba sindano (Leta nichomeke)
Chunga kibinda mwali napita kwenye mabano (Leta nichomeke)
Nipo ngangari tayari kwa mapambano (Leta nichomeke)
Tayari kagusa Aslay wa mambo msuguano (Leta nichomeke)

Tamba Tamba! Nakupa uwanja tamba
Tamba Tamba! Warushe warushike roho zao
Tamba Tamba! Wasokujua wakujuwe leo
Tamba Tamba! Tamba mama nao

(Wasafi)

Nishalinoa panga porini kukata muwa
Mwana kaza kitanda usiku kuneng’emuwa
Nishalinoa panga porini kukata muwa
Mwana kaza kitanda usiku kuneng’emuwa

Lalalala…lalalala
(Ayolizer)

Watch video below;

About Amebo9ja 27510 Articles
Nigeria’s #1 Music & Entertainment Website

Make Your comment

Leave a Reply

Your email address will not be published.